{"version":"1.0","type":"rich","provider_name":"Acast","provider_url":"https://acast.com","height":250,"width":700,"html":"<iframe src=\"https://embed.acast.com/$/621f41c42d43760012ef6856/6268ffce45ecc00018a17022?\" frameBorder=\"0\" width=\"700\" height=\"250\"></iframe>","title":"The Founders with Edgar's Confessions - \"Vibes and Inshallah\".","thumbnail_width":200,"thumbnail_height":200,"thumbnail_url":"https://open-images.acast.com/shows/621f41c42d43760012ef6856/1652426660199-5d6f58c1c62005d249cc33102d3c8f16.jpeg?height=200","description":"<p>Kutana na <strong>Edgar Mwampinge</strong> ambae ni Mwanzilishi wa kampuni inayofahamika kama <strong>WorkNasi</strong> pamoja na <strong>HEPHA</strong>. Kuna mengi ya kujifunza kutoka kwake, kutoka kua muhitimu wa shahada ya sheria mpaka kua mwanzilishi wa kampuni za teknolojia.</p><p><br></p><p>Changamoto zipo na zinabadilika kadiri unavyoendelea kukua. Lakini kuna changamoto chache mwanzoni unapokua mwanzilishi. Na hizi chache ndio hufahamika zaidi.</p><p><br></p><ol><li>Namna ya kuanza hasa katika yale ambayo huna utashi nayo au elimu.</li><li>Uchumi ni changamoto ambayo haikwepeki kwa wengi.</li><li>Mazingira rafiki pia hua ni changamoto, kutokana na aina ya kampuni/biashara.</li></ol><p><br></p><p>Lakini katika yote haya Edgar bado anatuaminisha kwamba bado inawezekana kuanzisha kampuni/biashara yako. Kama yeye alifanikiwa basi na wewe unaweza kufanikiwa.</p><p><br></p><p>The Founders Confessions - \"Vibes and Inshallah\"</p><p><br></p><p>Cheers!</p>","author_name":"Leyla Mohammed"}